jimmy mafufu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PostGE2025 Ninamuunga mkono Jimmy Mafufu kuwa hakuna sababu ya wasanii kuomba msamaha kwa yeyote kwa sababu hakuna walipokosea

    Yote niliyotaka kuandika tayari kayasema komredi Jimmy Mafufu. Msanii wa filamu Jimmy Mafufu ameibuka na kukanusha kuomba radhi, akisisitiza kuwa hawakufanya kosa lolote linalohitaji kuombwa msamaha. Amesema kuwa hata kama wananchi wataamua kutoendelea kununua kazi zao, bado wao wataendelea...
  2. PostGE2025 Msanii Jimmy Mafufu: Ushiriki wa Wasanii kwenye kampeni Sio Kosa kwahiyo hatutaomba radhi

    Msanii wa maigizo Jimmy Mafufu amesema ushiriki wa wasanii katika kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu haukuwa kosa, akibainisha kuwa walitumia haki yao ya kikatiba, hivyo hawana sababu yoyote ya kuomba radhi kwa yeyote. Kauli hiyo ya Mafufu imekuja wakati ambapo mjadala mkali unaendelea...
  3. Jimmy Mafufu, Stivin Mangele, Mbona hamumjibu Captain Tesha? Jitokezeni mjue vizuri tuko serious !!

    Wakuu Mama sianaupiga Mwingi? Jitokezeni Wakuuu ,au nyie Hamlindwi?? 🤣🤣
  4. GE2025 Jimmy Mafufu: Polepole anatamani kuishi maisha ya awamu ya 5 kwenye awamu ya 6

    Msanii wa filamu Jimmy Mafufu amejitokeza kumjibu Humphrey Polepole. Polepole anatafuta huruma na ni bingwa wa kucheza na upepo. Mafufu ametoa kauli zinazotafsiriwa kama kumtaka Polepole kukumbuka alikotoka, akisema baadhi ya viongozi wanapoteza mwelekeo wanapojiona wamefikia kilele. Ametumia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…