Aliyekuwa Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy ametupwa nje na chama chake cha CCM kugombea kwa awamu nyingine jimbo la Tanga Mjini na nafasi yake imechukulia na Kassim Baraka
Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu amechukua fomu leo June 30,2025 ya kuomba kutetea Ubunge katika Jimbo la Tanga Mjini.
Ummy ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Afya amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Tanga na amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tanga, Jamal...
Wanabodi,
Wanasiasa wameanza rasmi masuala ya kuomba kura lakini this time wanafanya indirectly.
Ummy anajua nguvu ya bodaboda katika ushawishi kwa hiyo ameamua kuchagna karata zake vizuri.
================================================================
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mhe Ummy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.