Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia Chama cha Act Wazalendo, Cyprian Musiba, ameeleza kuwa kuna njama zinazolengwa kumhujumu kwenye uchaguzi dhidi ya mpinzani wake, jambo ambalo amesisitiza kuwa hawawezi kukubali.
“Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 kwa sababu huyo...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia ACT Wazalendo Cyprian Musiba ameahidi kuzilinda kura zote atakazopigiwa na wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Musiba amesema hayo Agosti 31, 2025 akizungumza na waandishi wa habari wilayani Bunda akiwaomba wananchi kumpigia kura kwa wingi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.