jimbo la mvomero

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    GE2025 Amani Dimile atia nia jimbo la Mvomero, Morogoro

    Kijana Amani Dimile amejitosa kuwania ubunge katika jimbo la Mvomero. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika; "Iwe ndio, iwe hapana kazi ya mpambanaji ni kusonga mbele bila kujali matokeo ✊🏽 .. MVOMERO ARE YOU READY ✅✅" Pia soma...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Jonas Van Zeeland achukua fomu ya kuomba kuidhinishwa kuwa Mgombea wa Ubunge Jimbo la Mvomero

    Mbunge anayemaliza Kipindi chake cha kwanza Jimbo la Mvomero mkoani Morogoro Mhe. Jonas Van Zeeland leo Juni 30 .2025, amechukua fomu ya kuomba kuidhinishwa na Chama chake, Chama Cha Mapinduzi CCM, kuwa Mgombea wa Ubunge kwenye Jimbo la Mvomero, kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Sara Msafiri achukua fomu ya ubunge jimbo la Mvomero

    Aliyekuwa DC wilaya3 za Kigamboni, Hanang na Kibaha na mbunge wa viti maalumu kundi la vijana 2010-2015, Bi Sarah Msafiri amechukua leo jimbo la Mvomero akijinasibu kuwa Kasi ya Rais Samia inahitaji mbunge mwenye pumzi na kwamba yeye ndio mtu sahihi kwasasa jimbo la Mvomero kuelekea 2030 Soma...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Burton Mwemba (Mwijaku) apishana na Baba Levo, achukua fomu ya ubunge jimbo la Mvomero

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Burton Mwemba maarufu Mwijaku amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mvomero mkoani Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hatua hiyo imeashiria mwanzo rasmi wa safari yake ya kisiasa katika kuwania nafasi ya Ubunge wa Mvomero.
Back
Top Bottom