jimbo la makete

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Festo Sanga ashinda Kura za Maoni Jimbo la Makete

    Festo Richard Sanga ambaye anatetea nafasi yake amepata kura 4,104 akimshinda Dr.Toba Nguvila aliyepata kura 2,359 na kufuatia na mfanyabiashara Award Mpandilla aliyepata kura 946.Wengine ni Prof.Norman Sigalla 103 aliyepata kura na Selina Msigwa aliyepata 21.
  2. Mtoa Taarifa

    GE2025 Prof. Norman Sigalla King amechukua na kurejesha Fomu ya Kugombea Ubunge jimbo la Makete

    Profesa Norman Sigalla King amerejesha Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge jimbo la Makete kupitia CCM leo Julai 2, 2025. Prof. Norman ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo hilo anakumbukwa na Wananchi wa Makete kutokana na kufanikisha ujenzi wa Barabara ya Lami kutoka Njombe - Makete. Pia, miradi...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Dar, Toba Nguvila achukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Makete mkoani Njombe

    Aliyekuwa katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Toba Nguvila, amechukua fomu ya kutia nia kugombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Makete lililopo mkoani Njombe ameijaza na kuirudisha kwenye ofisi za chama hicho zilizopo wilayani Makete, huku akipongeza utaratibu uliopo...
Back
Top Bottom