Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anjelah Kairuki, ameahidi kutatua kero ya maji inayowakabili wananchi katika maeneo mbalimbali ya jimbo hilo, ikiwemo Mpiji Magohe, Msigani na Mbezi Msumi.
Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika kata ya Mbezi...
"Wakati wa uchaguzi kama huu, maneno maneno lazima yawepo, lakini mama yupo imara, amestahimili, kwa dua zenu Mungu pia hatamuacha, atasimama naye na tutavuka salama tarehe 29 Oktoba na nchi yetu itasonga mbele" -Prof. Kitila
Prof. Kitila ameeleza hayo Oktoba 09.2025, kwenye kongamano la dua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.