jimbo la itwangi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GE2025 Abdallah Nyaligwa, anaishi Uingereza, lakini ajitosa kuwania ubunge Jimbo jipya la Itwangi

    Abdallah Nyaligwa, leo Juni 30,2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania Ubunge wa Jimbo Jipya la Itwangi, ambalo limegawanywa kutoka Jimbo la Solwa. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Nyaligwa mzaliwa wa Itwangi kutoka familia...
  2. R

    PreGE2025 Fadhili Salmon atia nia Ubunge Jimbo la Itwangi, Shinyanga

    Fadhili Salmon Nafutari, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Itwangi, Wilaya ya Shinyanga akiwa na msukumo wa kulijenga jimbo hilo kupitia rasilimali zake za asili na nguvu kazi ya wananchi, Fadhili Salmon Nafutari amechukua fomu mapema leo Juni 30, 2025 katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…