jimbo la geita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    GE2025 Mgombea huyu wa CCM ni hatari ustawi kwa jimbo la Geita Mjini, amefoji vyeti

    Leo team ya Mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini mwenye kashfa ya kufoji Vyeti na kugawa Rushwa hovyo inashangiliwa baada ya kuhakikishiwa jina lake kurudi kwenye majina yatakayo Rudi kuwaania ubunge jimbo la Geita mujini, kijana huyo ambae amepofusha baadhi ya wajumbe kwa Rushwa leo...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kijana wa miaka 26 atangaza nia ya kugombea Jimbo la Geita mjini

    Joto la uchaguzi mkuu likiwa linazidi kupanda kwa baadhi ya wanasiasa katika halamshauri ya manispaa ya Geita Elia John Yohana mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni muhitimu Shahada ya kwanza ya Elimu ya sayansi ametangaza rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Geita mjini kupitia tiketi ya chama cha...
  3. upupu255

    PreGE2025 Dkt. Biteko aahidi Milioni 10 kwa ukarabati wa Kanisa Jimbo la Geita

    Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko ameahidi kutoa kiasi cha Tsh. Milioni 10 kwenye harambee ya Ukarabati wa jengo la kanisa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Daima Kome iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki la Geita, kwa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu wakamewa

    Viongozi wa chama Cha Mapinduzi CCM pamoja na Jumuiya zake Kutoka maeneo tofauti ikiwemo tawi la Katoma, wamejitokeza na kukemea vijana waliopotosha kauli ya Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Constantine Kanyasu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mbunge Kanyasu aeleza Mafanikio ya uongozi wake katika Jimbo la Geita

    Mbunge Kanyasu Aeleza Mafanikio na Changamoto za Maendeleo Jimboni Geita Mbunge wa Jimbo la Geita, Costantine Kanyasu, amesema zaidi ya zahanati 40 zimejengwa katika jimbo hilo katika kipindi cha uongozi wake. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa...
Back
Top Bottom