jimbo la busega

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Semistatus Hussein alitaka jimbo la Busega kupitia CCM

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Semistatus Hussein Mashimba achukua fomu kuwania uteuzi wa kukiwakilisha chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 katika Jimbo la Busega Mkoani Simiyu. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Dkt. Mashimba...
  2. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL) na TPSF, Francis Nanai achukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Busega, Simiyu

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na TPSF, Francis Nanai amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Busega mkoani Simiyu. Nanai amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Busega, Stephen Koyo.
Back
Top Bottom