jimbo katoliki bagamoyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    GE2025 Jimbo Katoliki Bagamoyo latangaza kuwaombea marehemu pamoja na Majeruhi siku ya 13/11/2025, waliotokana na uchaguzi mkuu

    Kufuatia Vifo Vilivyotokea Wakati wa Kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025 nchini Tanzania Mhashamu Stephano Lameck Musomba OSA, Askofu wa Jimbo Katoliki Bagamoyo Amewaomba na kuwaalika Mapadre, WATAWA, Waamini na Wote wenye Mapenzi Mema Tarehe 11/11/2025 Iwe ni Siku Maalumu ya Kuwaombea...
Back
Top Bottom