jeshi kuzuia maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. pulex

    JWTZ nako kunahitajika reforms

    JWTZ kuruhusu mamluki kuingia nchini na kuua watu uliokula kiapo kuwalinda ni usaliti mkubwa. Viongozi wa jeshini kama wanaweza kusaliti nchi yao na raia wao kwa vipande vya fedha, wanashindwa nini kununuliwa na maadui wakati wa vita. Mauaji yaliotokea Tanzania hakika imani ya wananchi kwa...
  2. DuaZaMama

    GE2025 SACP Kitinkwi: Jeshi la polisi ndiyo linawajibu wa kuruhusu na kuzuia maandamano, na yale ya Oktoba 29 yamezuiliwa

    Akizungumza na kituo cha Clouds Redio Kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni amesema kuwa Jeshi ndiyo linawajibu wa kuruhusu na kuzuia maandamano kamanda huyo amesema kuwa jeshi limezuia maandamano yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 29 kutokana na kusudi lake. (SACP), Mtatiro Kitinkwi
Back
Top Bottom