jatu company plc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Bosi wa JATU na wenzake waachiwa

    Baada ya kukaa mahabusu kwa siku 1,324, hatimaye Mkurugenzi wa Kampuni ya Jatu Public Limited Company (PLC), Peter Gesaya, ameachiwa huru katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Gesaya na wenzake wanne, Nicholaus Fuime, Esther Kiya, Mariam...
  2. M

    JamiiForums Tanzania SoC02 Jinsi Tanzania inavyoweza kujikwamua kiuchumi licha ya kuwepo kwa changamoto za uchumi zilizosababishwa na UVIKO -19 na vita kati ya Urusi na Ukraine

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizoathiriwa na janga la UVIKO-19 pamoja na vita kati ya Urusi na Ukraine katika Nyanja ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na uchumi wa taifa kwa ujumla. Majanga haya yamesababisha kuwepo kwa mfumuko wa bei za vyakula ,ongezeko katika bei ya mafuta na gesi pia kupungua...
  3. JamiiForums Tanzania Je, niwekeze kupitia JATU Company PLC?

    Kutokana na watu wengi kuniandikia kuniuliza kama ni salama kuwekeza pesa JATU company PLC. Nimeamua kufanya utafiti na maswali kwenye utafiti wangu yalikuwa kama ifuatavyo;- 1. Nani anaongoza JATU? 2. Je, ni biashara gani wanafanya? Pia hii biashara ni hatarishi kwa pesa yangu? 3. Je, nini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…