Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Jamal Kassim Ali amechukua fomu ya Ubunge Jimbo la Magomeni visiwani Zanzibar, akiwa na dhamira ya kutetea kiti chake hicho cha ubunge kwa mara ya pili.
Zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali ndani ya CCM limeanza Juni...