Aliyekua Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jamal Rwambow ambaye kwa sasa ni mgombea Ubunge kupitia ACT Wazalendo, Jimbo la Mbagala amesema, “askari yeyote anayo haki ya kukataa kufuata maelekezo ya mtu yeyote hata kama ni mkubwa wake kama maelekezo hayo ni kinyume cha sheria.”
Aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Jamal Rwambow ambaye kwa sasa anagombea Ubunge wa chama Cha ACT Wazalendo, Jimbo la Mbagala ambaye amefunguka mengi sana.
Soma > Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo
Mara nyingi wanaotoka huko wakiingia upinzani wanashughulikiwa, Mifano ni mingi mno, Wako walioshushwa kwenye Magari na kutobolewa macho.
===================
Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow leo Jumanne Agosti 5, 2025, amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo. Rwambo amekabidhiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.