jaji robert makaramba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Jaji Robert Makaramba: Amuuliza Muliro kuandamana imekuwa kosa? Unazuia ukitabiri vurugu umegeuka kuwa Yesu Kristo?

    Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu, Mhe Robert Makaramba akieleza Juu ya uthibitishaji wa makosa kisheria ambapo alielezea kwa miktadha kadha wa kadha. "Nchi hii sisi tuna maajabu, huwa tunaweza kukuangalia tu na tukajua unaenda kutenda kosa; Na ili usitende kosa tunakuzuia kwa kitu kinaitwa...
  2. McLaren

    Jaji Mstaafu Robert Makaramba: Polisi waliompiga mwananchi mahakamani walitia unajisi eneo la Mahakama

    Wakuu Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu, Robert Makaramba atoa tafakari juu tukio la Polisi kuwapiga wafuasi wa CHADEMA katika Mahakama Kuu. "Nilikuwa nashangaa Polisi ndiye anayepaswa kujua kwamba Mahakama imejaa au ni uongozi wa Mahakama ndiyo unapaswa kusema pamejaa, na kujaa maana yake ni nini?"
Back
Top Bottom