Takriban watu watatu wamefariki na wengine wawili kulazwa hospitalini baada ya mlipuko na moto kutokea kwenye kiwanda cha kemikali nchini Iran
Ajali hiyo ilitokea majira ya saa 5 asubuhi kwa saa za Iran (07:30 GMT) katika sehemu ya kuhifadhi methanoli kwenye Kiwanda cha Kaveh Petrochemical...
Wadau hamjamboni nyote
Iran imeamua kujipanga mapema kiusalama kwa kujenga ukuta.
Imepakana na nchi 7 za Afghanistan, Pakistan, Uturuki, Armenia, Azerbaijan and Turkmenistan na Iraq
Ukweli Marekani na Israel kazi wanayo
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Iran plans to wall up all land...
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.