Iran imewakamata watu 500 wanaotuhumiwa kushirikiana na maadui kwa kutoa taarifa nyeti, mkuu wa polisi wa nchi hiyo Ahmadreza Radan alisema Jumapili, wakati ndege za kivita za Israel na Marekani zikiendelea kushambulia malengo mapya ndani ya nchi hiyo.
Radan alisema takribani nusu ya kesi hizo...