huduma za kibingwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MOI yasogeza huduma za kibingwa na kibobezi kongamano la wanawake TANESCO

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesogeza huduma za kibingwa na kibobezi kwa wanawake wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Kongamano la Pili la Wanawake wa shirika hilo lililolenga pia kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Huduma zilizotolewa ni pamoja...
  2. MOI yasogeza Huduma za Kibingwa na Kibobezi Maonesho ya Nanenane Dodoma

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inaendelea kung’ara katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma kwa kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwa wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. Katika banda lake, MOI inatoa...
  3. MOI yasogeza huduma za kibingwa na kibobezi Dodoma na Mikoa jirani

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki wiki ya Utumishi wa Umma inayofanyika katika Kiwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma. Huduma zimeanza kutolewa leo Juni 16, 2025 katika kiwanja cha Chinangali Park, Dodoma ambapo Daktari Bingwa Mbobezi wa mifupa MOI, Dkt Tumaini...
  4. PreGE2025 Serikali imetenga Bilioni 123.93 kutoa huduma za kibingwa na kibobezi 2025-2026

    Katika mwaka wa fedha 2025-2026 Serikali imetenga Sh bilioni 123.93 kwa ajili kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi pamoja na kuimarisha tiba utalii nchini. Hayo yameelezwa leo Julai 2,2025 na Waziri wa Afya,Jenista Mhagama wakati akiwaslisha bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka...
  5. Wakazi wa Mbagala wakoshwa na huduma za Kibingwa za MOI

    Wakazi wa Mbagala wamefurahishwa na huduma za kibingwa na kibobezi zilizotolewa na wataalam wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika kambi maalum ya matibabu iliyoandaliwa na Wanataaluma na Wajasiriamali wa Kanisa la Wa Adiventista Wasabato Tanzania (ATAPE). Wakazi...
  6. Mke wa rais wa Msumbiji avutiwa na huduma za kibingwa hospitali ya Taifa Muhimbili

    MKE WA RAIS WA MSUMBIJI AVUTIWA NA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI Mke wa Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Gueta Selemane Chapo, ametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) za jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo...
  7. I

    JKCI kushirikiana na Hospitali ya Medanta kuwanoa wataalamu wa magonjwa ya moyo na kutoa huduma za kibingwa

    Katika jitihada za kukuza mashirikiano yenye tija, Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete(JKCI) imeanza kushirikiana na Hospitali ya Medanta iliyopo nchini India katika kubadilishana ujuzi wa fani mbalimbali za kutoa huduma za matibabu ya moyo. Ushirikiano huo meanza rasmi kwa mara ya kwanza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…