huduma ofisi za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Waziri Mkuu: Mwananchi ukifukuzwa ofisi ya umma, pita ngazi ya juu ili tushikishane adabu

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 26, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amezitaka ofisi za umma kutatua kero za wananchi kwa wakati kwani wananchi hawana kimbilio jingine. Ametaka wananchi wanapoenda kupata huduma katika ofisi za umma...
  2. T

    Huduma ofisi za serikali tumerudi awamu 4. Mitano tena HAPANA.

    CCM Kwa katiba iliyopo bado mtaiba kura na mgombea wenu atapita. Ushauri wangu kuwenu serious basi badilisheni gia angani huyu mama akacheze na wajukuu Kizimkazi, hali siyo kabisa serikalini. Magufuli sikuwahi kumpenda lakini kusimamia utendaji wa serikali alikuwa very smart pamoja na madhaifu...
  3. T

    Kama hujawahi kukutana na usumbufu, dharau na jeuri za watumishi wa serikali, utaendelea kutoona anachofanya Makonda

    Ukweli ni kwamba yawezekana Makonda ana mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yeyote. Lakini kwa kero za nyingi ya ofisini za uma hasa unapokuwa unahitaji huduma yenye viashiria vya maslahi, utazungushwa na kusumbuliwa kwa vitu vidogo sana, unapoteza muda, gharama ya fedha na gharama zingine...
Back
Top Bottom