huduma bora tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. babajeska

    DOKEZO Responded Urasimu na umungu watu ndani ya PSSSF - Dodoma ni kidonda kilichokosa dawa

    Mimi ni mwanachama wa mfuko wa PSSSF niliyechangia miaka kadhaa kabla ya kupoteza ajira kutokana na sababu mbalimbali, mwaka jana (2024) nilifUatilia fao la kukosa ajira nilizungushwa hadi nikaja humu JamiiForums kuleta kilio changu namshukuru Operation Manager alinisaidia. Pia soma ~ PSSSF...
  2. K

    Madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili Mirembe pokeeni Maua yenu!

    Habari Wana jamiiForums, Nipende kuwapongeza sana madaktari na manesi wa Hospitali ya Afya ya Akili iliyopo mkoani Dodoma. Kwa mtazamo wangu, niliposikia hii ni Hospitali ya wagonjwa wa afya ya Akili nilijua madaktari na manesi watakuwa ni watu waliokaa kikatili,hawajali na ni watu wa matusi...
  3. Kahtan Ahmed

    Je, haitoshi kusema Rais Samia ameshindwa kuwa bora sababu ya huduma mbovu ya umeme?

    Sijui ila kwa akili zangu naweza kusema kuwa kama sekta muhimu na mhimili wa maendeleo ya Tanzania TANESCO kushindwa kufikisha malengo ya wananchi ya upatikanaji wa umeme wa uhakika, je, sekta nyingine zina hali gani? Binafsi akili yangu inanituma kusema Rais Samia ameshindwa kwani TANESCO ni...
Back
Top Bottom