hospitali ya temeke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Mchengerwa amwagiza daktari Temeke kufunga Duka la Dawa pembezoni mwa Hospitali

    Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amesema hatavumilia tabia ya baadhi ya madaktari wa hospitali za Serikali kuwaelekeza wagonjwa kununua dawa kwenye maduka binafsi. Amesema akimtaja daktari mmoja wa Hospitali ya Temeke anayemiliki duka la dawa jirani na hospitali hiyo na kumuagiza alifunge...
  2. S

    Hospitali ya Temeke

    Jana kuna mgonjwa kaenda kufunga kidonda (dressing) cha kidole cha mguu kaambiwa Bima yake haina hiyo huduma ya bandage. Bima aliyonayo ni hii ya wafanyakazi (NHIF); alielekezwa akanunue bandage apeleke ili wamfunge; ikabidi afanye hivyo Kwa wanao husika na Hospitali ya Temeke naomba...
  3. BigTall

    Mafuta ya Kula yaliyoathiri Wakazi wa Yombo Dovya (Temeke) yadhibitiwe yasisambae zaidi na Je, waathirika hawasaidiwi?

    Hivi karibuni iliripotiwa taarifa ya zaidi ya Wakazi 200 wa Mtaa wa Yombo Dovya, Wilayani Temeke kuathirika kwa kubabuka ngozi, kuumwa macho na wengine kupata changamoto ya mikono katika maeneo mbalimbali mwilini baada ya kudaiwa kutumia mafuta ya kula yanayodaiwa kuwa na sumu. Ilielezwa kuwa...
  4. MwakiIV

    Wagonjwa wanateseka hospitali ya Temeke

    Siku ya leo 17/03/2023 Kuna ajali imetokea asubuhi ya leo ambayo imesababisha majeruhi wawili, majeruhi hao walipata huduma ya kwanza kwenye Zahanati ya Kigamboni na baadae tupewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Temeke. Baada ya kupokelewa ukawa na changamoto ya Umeme ambapo hata...
Back
Top Bottom