hizbullah

Hezbollah (, ; Arabic: حزب الله, romanized: Ḥizbu 'llāh, lit. 'Party of Allah' or 'Party of God') is a Lebanese Shia Islamist political party and militant group, led since 1992 by its Secretary-General Hassan Nasrallah. Hezbollah's paramilitary wing is the Jihad Council, and its political wing is the Loyalty to the Resistance Bloc party in the Lebanese Parliament. Its armed strength is assessed to be equivalent to that of a medium-sized army.
Hezbollah was established by Lebanese clerics primarily to fight the 1982 Israeli invasion of Lebanon. It adopted the model set out by Ayatollah Khomeini after the Iranian Revolution in 1979, and the party's founders adopted the name "Hezbollah" as chosen by Khomeini. Since then, close ties have developed between Iran and Hezbollah. The organization was created with the support of 1,500 Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) instructors, and aggregated a variety of Lebanese Shia groups into a unified organization to resist the former Israeli occupation of Southern Lebanon. During the Lebanese Civil War, Hezbollah's 1985 manifesto listed its objectives as the expulsion of "the Americans, the French and their allies definitely from Lebanon, putting an end to any colonialist entity on our land". Hezbollah also participated in the 1985–2000 South Lebanon conflict against the South Lebanon Army (SLA) and Israel Defense Forces (IDF), and fought again with the IDF in the 2006 Lebanon War. During the 1990s, Hezbollah also organized volunteers to fight for the Army of the Republic of Bosnia and Herzegovina during the Bosnian War.
Since 1990, Hezbollah has participated in Lebanese politics, in a process which is described as the Lebanonisation of Hezbollah, and it later participated in the government of Lebanon and joined political alliances. After the 2006–08 Lebanese protests and clashes, a national unity government was formed in 2008, with Hezbollah and its opposition allies obtaining 11 of 30 cabinet seats, enough to give them veto power. In August 2008, Lebanon's new cabinet unanimously approved a draft policy statement that recognizes Hezbollah's existence as an armed organization and guarantees its right to "liberate or recover occupied lands" (such as the Shebaa Farms). Hezbollah is part of Lebanon's March 8 Alliance, in opposition to the March 14 Alliance. It maintains strong support among Lebanese Shia Muslims, while Sunnis have disagreed with its agenda. Hezbollah also has support in some Christian areas of Lebanon. Since 2012, Hezbollah involvement in the Syrian civil war has seen it join the Syrian government in its fight against the Syrian opposition, which Hezbollah has described as a Zionist plot and a "Wahhabi-Zionist conspiracy" to destroy its alliance with Bashar al-Assad against Israel. Between 2013 and 2015, the organisation deployed its militia in both Syria and Iraq to fight or train local militias to fight against the Islamic State. In the 2018 Lebanese general election, Hezbollah held 12 seats and its alliance won the election by gaining 70 out of 128 seats in the Parliament of Lebanon.
Hezbollah did not disarm after the Israeli withdrawal from South Lebanon, in contravention of the UN Security Council resolution 1701. From 2006, the group's military strength grew significantly, to the extent that its paramilitary wing became more powerful than the Lebanese Army. Hezbollah has been described as a "state within a state", and has grown into an organization with seats in the Lebanese government, a radio and a satellite TV station, social services and large-scale military deployment of fighters beyond Lebanon's borders. The group currently receives military training, weapons, and financial support from Iran and political support from Syria, although the sectarian nature of the Syrian war has damaged the group's legitimacy. In 2021, Nasrallah said the group had 100,000 fighters. Either the entire organization or only its military wing has been designated a terrorist organization by several countries, including by the European Union and, since 2017, also by most member states of the Arab League, with two exceptions – Lebanon, where Hezbollah is one of the country's most influential political parties, and Iraq. Russia does not view Hezbollah as a "terrorist organization" but as a "legitimate socio-political force".

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Hizbullah wasema mvua ya makombora kuanza kuinyeshea tena Israel isipoacha kuishambulia Lebanon

    Naim Qassem ambaye ni kiongozi wa Hizbullah amesema kundi lake halijaona umuhimu wa kusalimisha silaha zake kwa serikali ya Lebanon wakati Israel imevunja mkataba wa kusitisha vita na inaenndelea kuishambulia Lebanon. Katika hotuba yake kupitia televisheni,kiongozi huyo ameitaka serikali ya...
  2. Webabu

    Hizbullah wasema hawawezi kusalimisha silaha zao kwa shinikizo la Marekani. Kwanza Israel waondoe majeshi yao Lebanon ndipo watafikiria suala hilo

    Wawakilishi kadhaa wa Marekani wamekuwa hawatoki Lebanon kushinikiza serikali ya Lebanon ipitishe azimio bungeni la kuwanyang'anya silaha Hizbullah. Kiongozi wa kundi hilo ndugu Naim Qassim amesema serikali ya nchi yake inapaswa kwanza kuwalazimisha Israel kuondoa majeshi yao yote nchini humo...
  3. Webabu

    Hizbullah warudi uwanjani kuisaidia Iran kupambana na Israel. Hali ndani ya Israel ni tete. Watu wasema hawakuzoea mambo kama haya

    Milio ya ving'ora imerudia ndani ya miji ya kaskazini ya Israel mpakani na Lebanon ikidhaniwa ni droni kutokea kwa Heizbullah. Droni kama hizo zimeonekana zikiingia ndani ya israel kupidia bonde la mto Jordan. Wananchi ndani ya jiji la Te Aviv wakisimulia mapigo ya jana kutoka Iran wamesema...
  4. Webabu

    Rais wa Lebanon asema hana haraka na kuwanyang'anya silaha Hizbullah wakati Israel inaendelea kuvunja mkataba wa amani wa Novemba 2024

    Uhusiano wa serikali ya Lebanon na chama cha Hizbullah umezidi kuimarika baada ya raisi Joseph Aoun kukasiririshwa sana na mauwaji yanayoendelea kufanywa na majeshi ya kiyahudi ya IDF ndani ya ardhi ya nchi yake.Tamko hilo linafuatia baada ya shambulizi lililoua watu wawili leo. Katika...
  5. Echolima1

    Katibu Mkuu wa Hezbollah Sheikh Naim Qassem agoma wanajeshi wa Hezbollah kupokonywa silaha

    Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem: "Hatutaruhusu mtu yeyote kuwapokonya silaha Hezbollah, na wazo la kupokonya silaha lazima liondolewe kabisa kwenye kamusi. Silaha zetu ndizo nguzo ya upinzani, ndizo zilizoikomboa nchi yetu na kulinda mamlaka ya taifa letu tupendwa.' Kwa lugha...
  6. Webabu

    Kabla kumalizana na Hamas na Hizbullah, kwa Israel kuingia Syria na kuichoza Uturuki ndio kupagawa kwenyewe huko na kujitumbukiza shimoni.

    Sio kificho kusema Hamas na Hizbullah wameumizwa sana kijeshi japo kuna tofauti kati yao.Na vile vile ni wazi kuwa Israel imepagawa ikijiona kama imeshinda. Kupagawa kwa Israel kunaonekana kwamba wamejiamini kuendelea kushambulia maeneo ya Syria kwa visingizio na bila kizuizi.Karibuni kabisa...
  7. Webabu

    Hizbullah wazirusha tena na Syria waanza kuionya Israel

    Leo tena maroketi kadhaa yameruswa uwelekeo wa kaskazini ya Israel na kumfanya waziri wa ulinzi wa Israel atoe onyo na vitisho kwa serikali ya Lebanon. Kuonesha ya kuwa maroketi hayo baadhi yametua na kupiga yalipokusudiwa,waziri huyo amesema madhara yanayoipata Kiryat Shmona basi yataipata na...
  8. Webabu

    Serikali ya Lebanon na Hizbullah wako pamoja kupinga vita vinavyoshinikizwa kwao na Israel

    Waziri mkuu wa Lebanon ambaye anaiunga mkono Hizbullah ameonya juu ya kuzuka kwa vita upya baada ya jeshi la Israel kushambulia maeneo kadhaa ya nchi hiyo na kusababisho vifo visivyopungua 7. Katika tamko jengine tofauti na la waziri mkuu,raisi wa nchi hiyo Joseph Aoun ammbaye ni mkristo...
  9. Webabu

    Hizbullah warudi tena uwanjani kuungana na wenzao wa Houth na Hamas kuidonoa Israel

    Maroketi matatu kutoka Lebanon yamerushwa uwelekeo wa Israel. Hii ni mara ya kwanza kwa Hizbullah kurusha maroketi tangu pale walipotiliana saina na Israel kusitisha vita. Kama kawaida ving'ora vililia kwa sauti kali kwenye mji wa Metulla wa kaskazini ya Israel. Inaonekana subira imewashinda...
  10. Webabu

    Hizbullah na serikali ya Syria wafanya mapatano. Ni kitisho kingine kwa Israel

    Baada ya kuwepo kwa taarifa ya mashambuliano ya siku mbili mpakani mwa Syria na Lebanon kati ya wafuasi wa HizbuLlah na wapiganaji wa serikali mpya ya Syria,sasa tukio hilo limefuatiwa na mapatano katika ya pande hizo mbili. Kiasili wapiganaji ya HizbuLlah ni wafuasi wa mrengo wa kishia wakati...
  11. econonist

    Je Hamas na Hizbullah waliingizwa kingi na Mossad

    Wanajamii kwa jinsi mambo yanavyoenda napata wasiwasi inaweza kuwa Hamas na Hizbullah waliingizwa kingi na Mossad kufanya mashambulizi ya October 7 na 8 2023. Kwanini nasema hivi: Inawezekaa pandikizi wa Mossad ndani ya Hamas walipanga hili Jambo. Wakawaset Hamas kupanga Hilo shambulio ili...
  12. ITR

    Wanajeshi 8 wa Israel wauawa kwenye shambulizi la Hizbullah

    Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo...
  13. Webabu

    Hizbullah warusha vitu vizito Tel Aviv kuleng

    Katika mashambulio hayo mapya Hizbullah wametlumia makombora aina ya FAD 3 wamesema yamelenga yaliplokusudiwa ikithibitishwa na IDF waliosema wametungua baadhi yake, Sehemu zilizokusudiwa kulengwa ni makao makuu ya Mossad na kambi za jeshi kuu za IDF Hiyo inatokea huku jeshi la Israel likiwa...
  14. Webabu

    Mfumo wa uendeshaji wa Hizbullah huwa hautingishiki kutokana na vifo vya viongozi wao.

    Imeelezwa kuwa mfumo wa mgawanyo wa madaraka na utayari wa kimapambano ni mmoja ya mifumo bora katika vyama vya utetezi wa haki kwani huwa daima hautingishiki kutokana na vifo vya viongozi wao wakuu. Kutokana na mfumo huo nafasi yoyote inayoaachwa wazi basi huwa kuna makundi ya waliotayarishwa...
  15. Webabu

    Viongozi wa Marekani wapongeza kifo cha Hassan Nasrallah huku moto wa makombora ya Hizbullah na Houth ukiunguza Jerusalem na Tel Aviv

    Kifo cha kiongozi wa muda mrefu wa Hizbullah japo kimekuwa ni huzuni kubwa kwa wananchi wa Lebanon na wapenda haki hata hivyo hakijaleta taswira ya kumalizika mapambano kati ya Hizbullah na taifa hilo la kiyahudi. Muda mfupi tu baada ya kutolewa uthibitisho wa kifo cha kiongozi huyo kombora zito...
  16. Webabu

    Hizbullah waingiza uwanjani kombora la FAD-3.Wapiga milima ya Golan,jimbo la Syria lililotekwa na Israel mwaka 1967

    Hapo juzi wapiganaji wa Hizbullah walitumia makombora ya FAD 1 na FAD 3 kupiga mji wa Haifa na makambi ya jeshi ya jirani na mji huo, Leo wapiganaji hao wamethibitisha kuwa mapigo yote ya Israel hayajaweza kufikia ndani ya milima wanakochimbia silaha zao nzito.Wamerusha mvua (salvo) ya...
  17. Webabu

    Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

    Baada ya mashambulizi makubwa hapo jana yaliyofanywa Lebanon na jeshi La Israel kwenye maeneo IDF iliyosema ni zaidi ya 1300. Muda huu Hizbullah wanarusha mvua ya maroketi kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel. Kwa mujibu wa matangazo hayo ya moja kwa moja makombora mawili kati ya hayo...
  18. Webabu

    Hizbullah waanza kutumia ile silaha yao kuzima umeme Israel

    Siku mbili baada ya mashambulio ya kielektronik nchini Lebanon yaliyofanywa na Israel na kufuatiwa na mashambulizi ya maroketi nchini Lebanon,hizbollah nao wamefanya shambulizi la aina yake lililolenga mifumo ya umeme ndani ya Israel Baada ya mashambuli ya kuripuka kwa simu na walkie talkie...
  19. inamankusweke

    Hezbollah yashambulia kambi ya jeshi Kaskazini mwa Israel, ikijeruhi 18 na kuua mmoja

    Hizbullah walifanya shambulizi hilo katika kujaribu kulipa kisasi milipuko ya vifaa vya mawasiliano,iliyoondoka na uhai wa watu takribani thelathini mpaka sasa na wengine wakiwa na halo mbaya...
  20. Webabu

    Iran yasema ndio imeipelekea makombora Urusi.Vile vile imeshawapatia Hezbollah silaha yake kali ya EMP inayopiga mifumo ya kusambazia umeme.

    Habari za kijasusi za Marekani kwamba Iran wameisambazia Urusi makombora ya masafa mafupi zitakazotumika katika vita na Ukraine, sasa si siri tena baada ya mbunge wa Iran na mjumbe wa kutunga sera za kiulinzi kusema ni kweli wameshaipatia Urusi silaha hizo. Akiweka wazi hatua zao hizo,mbunge...
Back
Top Bottom