heche azuiliwa sirari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 John Heche: Hapa Jela kwangu ni kama wananipaka manukato tu, sitarudi nyuma kwa makosa ya kutungiwa

    Ameandika Twaha Mwaipaya kupitia mitandao yake ya kijamii Wambieni watu wetu Mimi inajulikana kwa Mungu na malaika sina ubaya na nchi yangu naipenda Sana ! Kosa langu hata sasa ni kukataa kuwa msaliti wa mageuzi ili sote katika nchi tuishi utawala wa sheria na kulinda rasilimali zetu , ...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Watanzania na Wakenya waungana mpaka wa Sirari kuhakikisha John Heche anaelekea Kenya kutoa pole kufutia kifo cha Raila Odinga

    Hakika hii ndio dawa yao! Uonevu umezidi sana yani kweli kabisa mnamzuie mtu kwenda hadi kwenda kwenye msiba! This Is toomuch! Watanzania tumekuwa kama watumwa =============== Watanzania na Wakenya waungana mpaka wa Sirari kuhakikisha John Heche anaelekea Kenya kutoa pole kufutia kifo cha...
  3. figganigga

    Video: John Heche awafokea uhamiaji Sirari, adai alipita kwao ili kuonyesha dunia utendaji kazi wa Serikali ya Tanzania

    Baada ya Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kutoa Taarifa kuwa Makamu Mwenyekiti wa wa chama hicho, John Wegese Heche amezuiliwa kusafiri Kwenda nchini Kenya kuhudhuria Mazishi ya Raila Amolo Odinga, amezuiliwa Mpaka wa Tanzania na kenya (Sirari) Wilaya ya Tarime, hii ni video...
Back
Top Bottom