heche akamatwa mahakamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 John Heche: Hapa Jela kwangu ni kama wananipaka manukato tu, sitarudi nyuma kwa makosa ya kutungiwa

    Ameandika Twaha Mwaipaya kupitia mitandao yake ya kijamii Wambieni watu wetu Mimi inajulikana kwa Mungu na malaika sina ubaya na nchi yangu naipenda Sana ! Kosa langu hata sasa ni kukataa kuwa msaliti wa mageuzi ili sote katika nchi tuishi utawala wa sheria na kulinda rasilimali zetu , ...
  2. Mkalukungone Mwamba

    CHADEMA: John Heche anashikiliwa kwenye mahabusu ya Jeshi la Polisi Mtumba, jijini Dodoma

    Ila Jeshi letu la Polisi wanafanya mambo yao nje kabisa na maadali kabisa! Mlimchukua mkasema mnampeleka Tarime, lakini mkapelekea sehemu nyingine na mkakaa kimya kama hamjui chochote. Kelele zimekuwa nyingi ndio mnakiambia chama alipo kiongozi wao! Acheni huo ushamba wenu mnaendelea...
  3. Mafyangula

    GE2025 Wakili Mahinyila: Mpaka sasa hatufahamu John Heche yupo wapi na kwa kifupi hajafikishwa huko Tarime wala Mara

    Sasa hawa polisi mbona wanaleta michezo ya kishamba. Mnamchukua mtu kwa madai ya kumpeleka kwenye mahojiano, lakini ampeleki kunakohusika mliposema. Hivi mkiendelea kuambiwa kwamba mnateka mtakataa kweli? Embu muachie Heche mnazidisha hasira zaidi kwa wananchi. ================= Soma Pia...
  4. PAYE

    GE2025 John Mnyika: Kuna njama ya kutukamata viongozi wa CHADEMA kabla ya Oktoba 29, 2025

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Makamu Mwenyekiti, Bara wa chama hicho, John Heche, leo Asubuhi Mahakamani alipofika kwa ajili ha kusikiliza shauri la uhaini linalomkabili Tundu Lissu. "Kama kukamatwa kwake John Heche...
Back
Top Bottom