hatujapewa pesa ya kujikimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Ajira mpya Afya Makambako (TC 2025) hatujapewa Pesa ya Kujikimu

    Ajira mpya Afya Makambako TC 2025 hatujapewa pesa ya kujikimu hadi Februari hii 2026, sasa na hao watu wa mikopo wanatusumbua sana.
  2. A

    KERO Watumishi Ajira Mpya HALMASHAURI YA CHALINZE hatujapewa pesa ya kujikimu

    Mimi ni mtumishi wa ajira mpya kutoka Halmashauri ya Chalinze. Yaani toka mwezi wa pili hatujapewa pesa za kujikimu na ilihali halmashauri nyingine za mkoa wa Pwani wameshalipwa. Kila tukiuliza tunaambiwa tutalipwa tu, wanasema kama sio December 2025, basi April au June 2026.
Back
Top Bottom