Je wajua? Ulaaji usiofaa unaweza kuongeza hatari ya matatizo ya moyo 😟
“Chips yai na soda baridi sana” 🔥
Hivi vitu vinaongeza mafuta mabaya (kolesteroli) mwilini na vinaweza kuziba mishipa ya damu.
Kwa mujibu wa WHO, kati ya vifo 5, vifo 4 vinahusishwa na magonjwa ya moyo.
Mshtuko wa moyo...