haran sanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 Haran Sanga: Nitamaliza kero za nyani kwa wakulima wa Kata ya Kimbiji

    Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haran Sanga, amepania kumaliza kero ya nyani kwa wakulima wa Kata ya Kimbiji. Akizungumza na wananchi, Sanga alisema wakulima wengi wa mazao wamekuwa wakisumbuliwa na nyani hali ambayo imefifiza uchumi wao. Ameahidi endapo atapewa ridhaa...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Haran Sanga, achukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Kigamboni

    Haran Nyakisa Sanga, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, amechukua fomu yq kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigamboni. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Leo Juni 28, 2025 amejiunga rasmi na wengine waliochukua fomu za kugombea nafasi hiyo...
Back
Top Bottom