Wakili Onesmo Olengurumwa, Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), amesema harakati za vijana na maandamano ya kudai haki si jambo jipya, bali ni mwendelezo wa historia ndefu ya mapambano ya kidemokrasia duniani.
Akizungumza katika kipindi cha Maswali na...