Dereva wa Kenya Nelson Wanjohi Kirika, mkazi wa Kenya nchini Afrika Kusini Edward Mwangi Mwai, na Aziz Hama, raia wa Tanzania (kutoka kushoto kwenda kulia) wamefikishwa rasmi mahakamani leo asubuhi wakikabiliwa na shtaka la kumteka nyara Mtanzania Mshabaha Mshabaha Hamza na kumsababishia...
Ameandika Hilda Newton
Majina yake anaitwa Aidan Francis Msuya wengi humwita Danny, ni mtoto wa Mzee Msuya ambaye alikuwa mtumishi wa kawaida UDSM siyo Profesa.
Msuya amesoma shule ya Msingi Mlimani (UDSM), Secondary amesoma Tambaza na baadae akamalizia Mikoani.
Soma > Wanaodaiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.