Wapendwa, kwanza poleni sana na msiba.
Kwa upande wangu, naona kabisa kama niko kwenye majaribu makubwa.
Nimejaliwa watoto wangu wawili, na nikahisi wananitosha kabisa.
Hapo nikachukua uamuzi wa kuweka kipandikizi mkononi.
Baada ya mwaka mmoja kupita, kile kipandikizi kikaniletea maudhi...
Kwanini ninakuwa na hamu ya mapenzi mara kwa mara? Yaani hata nikimaliza kusex baada ya masaa matatu nataka tena hata kama nimepiga vitatu ninataka tena.
Wataalam shida nini hapa na nifanyeje hii hali ikome?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.