hali ya kisiasa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MEKADDISHKEM

    Nani atamfunga Paka Kengele?- Taswira ya hali ya kisiasa Tanzania

    Katika hadithi maarufu ya “Nani Atamfunga Paka Kengele,” tunasikia simulizi la taifa la Panya lililovamiwa na Paka mwenye nguvu. Panya wanateseka, wanaishi kwa hofu, na hata sauti zao ndogo zinakuwa tishio mbele ya masikio makali ya Paka. Baada ya mateso ya muda mrefu, wanakusanyika kutafuta...
  2. Kitimoto

    Sala ya Kuwaombea Viongozi na Waathirika wa Hali ya Kisiasa Tanzania

    Baba Yetu wa Mbinguni, tunakushukuru kwa upendo wako mkuu na rehema zisizo na mwisho. Tunakutolea sala hii, tukiwa na majonzi ya mioyo yetu, tukiwaombea viongozi na wananchi waliokumbwa na maumivu na mateso katika taifa letu. Tunakuomba, Baba yetu, uingilie kati kwa huruma yako isiyokwisha. 1...
  3. Lord Denning

    Huku Ufisadi wa kutisha, Huku Utekaji, Mauaji na Unyanyasaji wa Kingono. Watanzania kweli tuna bahati Mbaya

    Wakati maisha ya Mtanzania wa kawaida yakizidi kuwa magumu huku huduma za msingi kama matibabu ya uhakika, madawa hospitalini, maji safi na salama, elimu bora na ya uhakika kwa watoto wetu vikizidi kuwa kizungumkuti hali si hali nchini Tanzania. Wakati maelfu ya vijana wakiwa hawana ajira huku...
Back
Top Bottom