EATV imezunguka maeneo tofauti katika manispaa ya Musoma, Mara, hali ya usalama iko shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao kama kawaida licha ya maduka mengi kufungwa kwa tahadhali.
Hata hivyo, Innocent Mgube akiwawakilisha madereva wenzake anasema kwao kidogo imewaathiri kutokana na...