Wakuu,
Kuna elimu ya hela yote imetolewa hapa na Wakili Edson Kilatu kuhusu masuala ya maandamano
Wakili Edson Kilatu kupitia Wakili TV akiwa anaelimisha kuhusu namna sheria inavyosema juu ya maandamano, amesema hakuna sheria inayomtaka mwananchi kuomba kibali cha maandamano, bali kutoa...
Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv na Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo Ndugu Haji Sunday Manara amewajibu wanaomsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na Vijana wanaoshinikiza kufanya maandamano kufuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu.
Soma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.