haki za watu wenye ulemavu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAYE

    GE2025 ZEC: Watu wenye Ulemavu 8,021 watashiriki Uchaguzi Mkuu Zanzibar Oktoba 29, 2025

    Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema jumla ya watu wenye ulemavu wapatao 8,021 wanatarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 visiwani Zanzibar. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa ZEC, idadi hiyo imetokana na takwimu rasmi zilizokusanywa kupitia mchakato wa uandikishaji wa...
  2. W

    Wadau waisihi serikali kuridhia itifaki ya haki za watu wenye ulemavu

    Katika juhudi za kukabiliana na mila potofu, imani zisizo sahihi na ushirikina unaodhuru watu wenye ulemavu, wadau wametoa wito kwa serikali kuhakikisha inakamilisha mchakato wa kuridhia Itifaki ya Haki za Watu Wenye Ulemavu Afrika kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la 12, ili kulinda haki za kundi...
  3. L

    Damu ya huyu Mtoto Itazungumza mpaka wahusika wote na mtandao wao wapatikane popote walipo hapa duniani

    Ndugu zangu Watanzania, Inaumiza sana, inasikitisha, inahuzunisha, inatia hasira, inaleta simanzi, inasononesha na kuleta uchungu mkubwa sana ndani ya Moyo kuona, kusikia, kutizama, kushuhudia na kupata habari kuwa kuna watu, watanzania wenzetu,wenye mioyo ya nyama na Damu. Wanaweza kufanya...
Back
Top Bottom