Wote tunafahamu maandamano ni haki ya kikatiba, ila kwa utawala huu, maandamano yamegeuka kuwa ni kosa la uhaini.
Kwa msingi huo na nikirejea kesi ya Lissu kuhusu uhaini, Dr. Malisa ataepuka kesi ya uhaini kwa hoja ya kumtisha Rais kama tulivyoona kwenye kesi ya Lissu?
Na je, Dr. Malisa yuko...