Katika kile kinachoonekana ‘mbio za kugombea lango lililo huru’, mwanasheria Godfrey Maduhu amejitokeza na kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kumteua kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.