Kuna mambo ambayo mahakama/polisi inabidi mubadilike
Kuna dogo alimchoma mwenzie kisu akakaa mwaka ndani wakidai uchunguzi unaendelea.
Hay mambo yanakatisha tamaa sana mahakamani, mfano mauaji ya kijana Goba.
Huyu dada usishangae mwaka mzima aje hukumiwa huku ndugu wakidanganywa toa hiki toa...