Kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Edwin Odemba Mwanachama wa zamani wa CHADEMA, na Mmoja wa kundi la G 55 kwa wakati huo, ambaye kwa sasa ni Mgombea Ubunge jimbo la Kawe kupitia Act Wazalendo Glory Tausi amesema G 55 walitoa mawazo yetu mazuri kwa Chadema ya namna...
Kura zinatafutwa haswa jamani!
====================
Mgombea ubunge wa Kawe kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Shayo ameendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba akiwa na wagombea udiwani wa kata za Kunduchi, Kawe, Bunju na Mbezi Juu.
Shayo na timu yake leo Jumamosi Septemba 20...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia ACT Wazalendo, Glory Tausi ameeleza kuwa No reforms No Election ya Mbowe ilikuwa na mlango wa kutokea kuelekea kwenye Uchaguzi, na anaamini wangeshinda na kutangazwa lakini No Reforms No election ya pili (ya Lissu) imekuja na nginjanginya ingawa bado...
Mgombea ubunge wa Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi, leo Ijumaa, Septemba 12, 2025 ameendelea na kampeni zake kwa staili ya kupita nyumba kwa nyumba na vijiweni katika mitaa mbalimbali ya jimbo hilo. Picha na Michael Matemanga
Afisa TEHAMA Makao Makuu, Grory Tausi, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama cha ACT Wazalendo kugombea ubunge wa Jimbo la Kawe.
Fomu hiyo imekabidhiwa rasmi na Mwenyekiti wa jimbo hilo, Perpetua Martin Mafa.
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi amehamia chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu.
Akizungumza leo Juni 03, Ado amesema "wapiganaji ambao wamegonga mlangp hapa ACT tumekuwa tukiwapokea leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.