giorgio armani

Giorgio Armani (Italian pronunciation: [ˈdʒordʒo arˈmaːni]; 11 July 1934 – 4 September 2025) was an Italian fashion designer and billionaire. He first gained renown working for Cerruti 1881. He formed his company, Armani, in 1975, which eventually expanded into music, sport, and luxury hotels. By 2001, Armani was acclaimed as the most successful designer of Italian origin, and is credited with pioneering red-carpet fashion. At the time of his death, his empire was valued at more than €11.5 billion.

View More On Wikipedia.org
  1. Mbunifu wa mavazi mbobezi Giorgio Armani amefariki September 4, 2025 akiwa na umri wa miaka 91 bila mke wala mtoto

    Bwana Giorgio Armani alizaliwa mwaka 1934 nchini Italia. Alisoma shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu, baada ya hapo alijiunga na jeshi kabla hajagundua kipaji chake cha ubunifu wa mavazi. Bwana Armani Amani kubuni mavazi ya nyota jwa dunia katika ulimwengu wa filamu kama Julia Robert’s...
  2. X

    Legend na fashion icon Giorgio Armani afariki dunia akiwa na umri wa miaka 91

    Aliyekuwa Godfather wa mitindo nchini Italia, gwiji na nguli wa mitindo duniani bilionea Giorgio Armani aliyezaliwa katika mji wa Pianceza nchini Italia amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91. Alianza kazi zake miaka 50 iliyopita jijini Milan jirani na mji aliozaliwa kwa kuanzisha Giorgio...
  3. TANZIA Mwanamitindo Giorgio Armani afariki Dunia akiwa na umri wa miaka 91

    Mbunifu na Mwanamitindo mashuhuri duniani kutoka nchini Italia Giorgio Armani, amefariki dunia hii leo Septemba 4, 2025 akiwa na umri wa miaka 91, Kampuni yake imethibitisha. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Giorgio Armani imeeleza “kwa huzuni isiyo na kifani Kampuni ya Armani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…