Wakuu, haya wacha tuone leo ni nani anajiahibisha leo na kuutangazia umma anaenda kuchukua 'chai' kwa CCM.
====
G55 Morogoro kuzungumza na waandishi wa habari kujiondoa CHADEMA
https://www.youtube.com/live/Oniq6b-NIn4?si=yCSNQyRnUYtwXCfy
Meza Kuu inajumuisha;
Devotha Minja - ameanza kwa...
Wakuu,
Ni mwendo wa kuendelea kuangalia panapovuja mpaka iache kunyesha.
https://www.youtube.com/live/7DyNX31-xaQ?si=rDbUhzxMfwptm2Q-
Meza Kuu inajumuisha;
Henry Kileo - Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Kinondoni - Nimekaa kwenye chama kwa uaminifu sana, lakini chama sasa kimepoteza muelekezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.