Wakuu,
Nadhani at this point CHAUMMA ingehairisha mikutano yake ikajipange upya.
Ni aibu sana mpaka wananchi wanafikia point ya kuwazomea mikutanoni.
Yaani machoni mwa wananchi hiki chama kinaonekana ni cha Wasaliti na Watu Wasiojitambua.
Aibu gani hii?
Wakuu, hapa nimewasogezea video ambayo wananchi wanatoa ya moyoni Sakata zima la waliokuwa viongozi CHADEMA kuhamaia CHAUMMA, ambapo wamewalaumu viongozi hao kukosa msimamo thabiti wa kupigania maslahi ya wananchi bali matumbo yao binafsi
Wakuu,
CHAUMMA inapokea wanachama wapya wakati huu kutoka G55
https://www.youtube.com/live/F2vujXgaQ8I?si=JXMwKc7Puisgjq6K
Catherine Ruge, Mrema na wengine baada ya kupewa kadi ya uanachama wa CHAUMMA na kuwa wanachama rasmi wa chama hicho, waandishi wa habari wametoka nje kuwapisha CHAUMMA...
Wakuu,
Mwananchi wamevujisha majina ya baadhi ya makada ambao wameonekana kwenye mkutano wa kamati kuu na Halmashauri Kuu.
Baadhi ya wanachama waliokuwa CHADEMA waliokuwepo kwenye kikao hicho ni pamoja aliyegombea Uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema Taifa (Bavicha), Masoud Masoud...
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikiendelea kukumbwa na mtikisiko wa ndani, mamia ya wanachama wake wanaripotiwa kujivua uanachama, huku wakihusishwa na mpango wa kujiunga na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kikiwa miongoni mwa vyama 19 vilivyosajiliwa rasmi nchini...
Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Godbless Lema akiongea na wananchi wa Mkoani Mwanza hapo jana Mei 12 katika ziara yao ya "Bila mabadiliko hakuna Uchaguzi" ameeleza kuwa "Wanaondoka kwasababu Mungu anaipenda Chadema, Chama hiki kwasababu ni cha Upinzani lazima...
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital.
Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu wa Urais, Ubunge na Udiwani.
CHAUMMA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alikanusha taarifa...
Sijui kwanini Kigaila anadanganya umma kwamba hawana pa kwenda wakati kila kitu kiko wazi.
Tangazeni Kuhamia CCM kama mlivyoelekezwa, Kigugumizi kinatoka wapi?
Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana, Haiwezekani mng'ang'anie kuwa wajumbe wa sekreterieti milele, huu ni udhaifu mkubwa sana...
Wakuu,
Haya ndio yanayohuma huko kuwa G55 mpango wao ni kuhamia CHAUMA kwa madai ya kuwa waahidiwa majimbo 20 na pia wamekuwa wakizunguka kushawishi wengine kujiunga nao kwenda chauma kwa ahadi inayosemekana ya milioni 90 per kichwa. Nadhani tumeanza kuona viongozi mbalimbali kama wenyeviti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.