Habari zenu za majukumu.
Nimejifanya sana mjuaji ila kwa hizi device 2 zimenitoa ushamba.
Ni SAMSUNG A10S NA HUAWEI HONOR X6 Frp yake ni ngumu mno.
Hivyo kama uko na software ya kucrack au upo njia ya kuremove bypass ya hizo device hapo juu nisaidiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.