fraseck mwakalenga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Katavi: Wafanyabiashara wamkataa Afisa wa TRA

    Wafanyabiashara wa soko la Majimoto katika Halmashauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi wameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kumuondoa Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Majimoto, Fraseck Mwakalenga kwa madai ya kukusanya kodi kiholela ikiwemo matumizi ya lugha za kukera. Wakizungumza...
Back
Top Bottom