forodhani

The Forodhani Gardens (also known as Jubilee Gardens and more recently as Forodhani Park) is a small park in the historical city of Stone Town, Zanzibar, Tanzania. The gardens are located along the main seawalk of Stone Town, just in front of the most famous buildings of Stone Town, i.e., the House of Wonders and the Old Fort.
The Gardens are especially busy after sunset, when tourists and local alike gather in a popular food street market in the main square, to have dinner enjoying Swahili and Zanzibari cuisine delicacies such as grilled seafood, samoosas, cassava and sweet potatoes.On July 31, 2009, a ground-breaking ceremony was held by the Aga Khan to introduce a revitalized park. It was rehabilitated by Aga Khan Trust for Culture (AKTC) at a cost of $3 million (Sh3.9 billion) from the initial estimates of $2.4 million (over Sh3 billion). The facelift involved the restoration of pedestrian walkways, landscape, infrastructure upgrading, incorporating lighting, sewerage drainage and civic amenities, and the rehabilitation of the seawall fronting the park.

View More On Wikipedia.org
  1. zachariano alexido

    Sikukuu ya mwaka huu Forodhani Zanzibar imepoa sana

    Mwaka juzi na mwaka Jana, hapakua na pakukanyaga, yani ilikua balaa hupiti mpaka upenyeze ila mwaka HUU HATA sarakasi unapiga VIZURI TU je, Watu hawana hela au matamko tata ya viongozi wa dini kupishana mitazamo ya siku husika au ndo basi tu
  2. flamini

    Forodhani Zanzibar pachafu

    Miafrica ndio tulivyo.. Mnategemea utalii halafu mnashindwa ku enforce usafi wa eneo mashuhuri.. Weka faini kubwa,Enforce usafi,Adhibu watu,tia bakora wanaokojoa baharini..
  3. N

    Coca-Cola yaipeleka 'Chupa la Machupa’ Zanzibar

    Kampeni ya ‘Chupa la Machupa’ imepelekwa rasmi Forodhani, Zanzibar, kuleta msisimko mpya katika mandhari ya eneo hili maarufu mjini Zanzibar. Forodhani ni eneo lililopo katikati ya Mji Mkongwe, kati ya Jumba la Makumbusho na Ngome Kongwe, ni kivutio kikubwa cha wageni na wenyeji kila jioni...
  4. Suley2019

    Wapiga Makachu Forodhani waruhisiwa, Watasaini Mkataba

    Mamlaka ya Uhifadhi na uendeshaji wa Mji Mkongwe Zanzibar kwa kushirikiana na taasisi nyingine za serikali zimekubaliana kuwaruhusu vijana wa wapiga makachu katika eneo la Forodhani kuendelea na Shughuli zao kwa kuzingatia taratibu zilizoanishwa katika mikataba itakayosainiwa na vijana hao...
  5. Mohammed Salum

    Forodhani Zanzibar

    Moja ya maeneo yanayokusanya watu wengi, hasa nyakati za jioni visiwani Zanzibar, ni Forodhani Garden, ukubwa wake si zaidi ya kilomita moja za mraba, lakini hubeba melfu ya wageni wa ndani na wa nje ya Tanzania. Upekee wa bustani hii ni uwepo wa vyakula vya aina mbalimbali, vikiwemo vya asili...
  6. LICHADI

    Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

    Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu. Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani...
Back
Top Bottom