fomu ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GenuineMan

    Hawa vigogo wamechukua Fomu Ubunge.??

    NAomba kufahamu political status ya hawa waheshimiwa. 1. Job Yuston Ndugai 2. Bashiru Ali 3.Paramaganda Aidan Mwaluko Kabudi 4. Joyce Ndalichako 5.Mzee Mkuchika 7.Dorothy Gwajima.
  2. PAYE

    GE2025 Janeth Mtiba achukua fomu ubunge Tarime Mjini

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Janeth Mtiba (kushoto) leo Jumatatu Juni 30, 2025 amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Tarime Mjini. Janeth amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tarime, Hamza Adam.
  3. McLaren

    GE2025 Aliyekuwa mtangazaji wa The Mboni Show, Mboni Masimba naye achukua fomu kuwania Ubunge Viti Maalum Handeni Mjini

    Wakuu, Yaani CCM ukiwa unapumua tu basi hiyo ni qualification tosha ya kuchukua fomu. Mjasiriamali na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mboni Masimba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuwania ubunge wa Viti Maalumu kupitia Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Tanga.
  4. W

    PreGE2025 Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)

    Kiongozi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fortunatus Muhalila amechukua fomu ya kugombea ubunge Muleba Kaskazini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Muhalila amekabidhiwa fomu hiyo leo Juni 29, 2025 na Katibu wa chama hicho, Wilaya ya Muleba, Agness Kasela. Source: Mwananchi
Back
Top Bottom