Baada ya kuwa madarakani kwa miaka sabini na mbili, sasa Chama cha Kikomunisti cha China CPC kinaongoza nchi ya pili kwa nguvu ya uchumi duniani. Kikao cha 6 cha wajumbe wote cha Kamati Kuu ya 19 ya CPC kilichomalizika hivi karibuni, kimejumuisha jinsi kilivyoiongoza China kupata maendeleo ya...