As a man, you can’t stop spending. Just Pray you don’t stop earning.
Matumizi kwa mwanaume hayakwepeki, ogopa tu siku ambayo utaishiwa pesa.
kusanya mzigo wa kutosha uweze kukusaidia uzeeni ufe kwa heshima.
Kuvaa, kula, pango, usafiri, n.k. ni juu yako
Kupata mpenzi utahitaji kutumia pesa...
IPI NI NJIA BORA KULIPA MAFAO YA UZEE
1. Kiinua Mgongo pekeyake (Mtu apewe kiasi chote 100%)?
2. Kiinua mgongo pamoja na pensheni ya kila mwezi?
3. Pensheni ya kila mwezi tu, mstaafu akistaafu anaingia kwenye system ya kulipwa pension ya kila mwezi isiyo pungua asilimia 75% ya mshaara wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.