Fangasi sehemu za siri ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi. Dalili zake ni kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya, kuwasha, na hali ya aibu hasa unapokuwa karibu na watu au unaposhiriki tendo la ndoa. Tatizo hili likiachwa bila matibabu linaweza kuendelea kukuletea usumbufu mkubwa na kupunguza...
Fangasi Kwa Mwanaume:
Fangasi kwenye uume (fungal infections in men) ni maambukizi yanayosababishwa na fangasi wa aina mbalimbali, hasa Candida albicans. Maambukizi haya huathiri ngozi ya uume na maeneo ya karibu, na mara nyingi huambukizwa kutokana na usafi duni wa sehemu za siri.
Maambukizi...
Habari great minds,
Nina tatizo la fangasi sugu sehemu za siri kwa miaka zaidi ya 4, huwa linanisumbua miwasho japo kuna muda linapungua na kupotea.
Nimeshatumia kila aina ya dawa zikiwemo za kupaka na kumeza, na kufuata maelekezo yote lakini tatizo bado lipo.
Kwa mikoa niliyokuwa naishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.