familia ya john heche

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Familia John Heche yasema, haiko tayari kuona ndugu yao akipoteza maisha bila sababu ya msingi kwa sababu ndugu yao hana makosa

    Polisi polisi na Serikali ya Samia mbona mnazidi kutengeneza chuki zaidi kwa Watanzania, Hivi hivi utasikia Heche haonekani tena au kafungulia kesi nzito ilimradi tu wahodhfishe CHADEMA. Hii si sawa. ================== Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikihoji alipo Makamu...
  2. K

    Chondechonde familia ya Heche msiingie mtego wa kwenda kumdai ndugu yenu Mahakamani kama walivyofanya kwa Polepole

    Nikiwa nafyonza castle light zangu hapa kijiweni kwangu hili wazo limekuja ghafla Ya mahakamani yanaendaga slow slow kwasababu huko ni kwa wasomi na yakienda huko yanafunga mipaka yote ya kuliongelea swala hilo hivyo hamtakiwi kuliongelea hadi mahakama itoe uamuzi. Haya ndo mambo ya wasomi...
Back
Top Bottom