Ndugu zangu watanzania,
Leo sina maneno mengi ya kuongea nanyi Bali nimewaletea tu matokeo na FAIDA ya ELIMU bule katika awamu ya sita
Hakika mama katufikia watanzania na tuna mpenda na tunatamba nae na ELIMU tunasoma bule na hakuna necta la Saba wala kidato Cha pili SI kwenda tu mbele kwa mbele
ELIMU CHACHE TULIZO NAZO
TUZITUMIE KUWANUFAISHA WENGINE.
Wanaccm wenzangu Elimu ya kujua Mambo mbali mbali ni ya Muhimu katika maisha YETU ya kila siku pia na maisha yetu ya baadae TUTAKAPOIAGA DUNIA HII INAYOMEZA WENGI WAKAPUMBAA NA KUMSAHAU MOLA WAO.
Tukisoma Katiba ya CCM 1977 toleo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.